![MUHIDIN MICHUZI](/img/default-banner.jpg)
- Видео 1 295
- Просмотров 16 728 439
MUHIDIN MICHUZI
Танзания
Добавлен 2 авг 2009
Tanzania Sights & Sounds
Видео
UN RESIDENT COORDINATOR IN TANZANIA ZLATAN MILISIC SPEAKING
Просмотров 788 месяцев назад
UN Resident Coordinator for the United Republic of Tanzania Zlatan Milisic speaks during a UN Day Commemoration's pre-activity at the Sahara Venture offices in Dar es salaam today October 23, 2023.
RAIS SAMIA KATIKA DOHA INTERNATIONAL HORTICULTURE EXPOS 2023
Просмотров 1,7 тыс.8 месяцев назад
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) nchini Qatar Inbox
HOTUBA YA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE MKUTANO WA 14 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA
Просмотров 118Год назад
HOTUBA YA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE MKUTANO WA 14 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO JUNI 8, 2023
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA YA UENDESHAJI WA SHIRIKA LA MAWASILIANO (TTCL)
Просмотров 111Год назад
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya mageuzi makubwa katika Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa kuhamishia shughuli zote za miundombinu ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kwenye Shirika hilo. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) amezungumza hayo leo Aprili 17, 2023 jijini Dodom...
KISHAPU MKOANI SHINYANGA WAANZA UPANDIKIZAJI WA SAMAKI ELFU 12 BWAWA LA MHUMBU.
Просмотров 78Год назад
Katika kuongeza zao la samaki nchini wilaya ya kishapu mkoani Shinyanga imeanza zoezi la upandikizaji wa samaki (12,0000) aina ya sato, katika bwawa la mhumbu kata ya Somgwa wilayani humo Kaimu Mkurugenzi halimashauri ya wilaya ya kishapu Sabiusi Chaula amesema kupitia bajeti ya mwaka 2022-2023 wameweza kununua vifaranga vya samaki elfu 12 ili kuwawezezesha wavuvi kuendelea kujipatia kipato. Ak...
SLOVAKIA YATOA RAI KWA WAFANYABIASHARA TANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIBIASHARA NA NCHI HIO
Просмотров 120Год назад
Balozi wa Heshima wa Jamhuri ya Slovakia nchini Tanzania Mhe.Moustafa Khataw ametoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa kwa kushirikiana na wenzao wa nchi hiyo ambao wameonesha nia ya dhati ya kutaka kuwekeza Pamoja kufanya biashara na Tanzania. Mhe. Khataw ameyasema hayo katika mahojiano maalumu wakati wa kongamano la uwekezaji na biashara la Umoja wa Nchi za Ulaya lililofa...
KATA YA MUGHANGA MANISPAA YA SINGIDA YAFANIKISHA PROGRAMU YA CHAKULA SHULENI
Просмотров 50Год назад
Kata ya Mughanga katika Manispaa ya Singida imefanikisha programu ya utoaji chakula, kwa shule za msingi na sekondari zilizopo katika kata hiyo. Mtendaji wa Kata ya Mughanga Bi. Futari Shauri amesema kuwa, kupitia ofisi ya Kata hiyo, tayari vikao vya kuwaelimisha wazazi na walezi, vimefanyika kwa ajili ya kuanza utekelezaji wake. Mtendaji huyo amesema kuwa, wazazi na walezi kwa kauli moja wamek...
ONESHO LA MAQUIS ORIGINAL RE-UNION LILIVYOFANA ROYAL VILLAGE HOTEL JIJNI DODOMA
Просмотров 1,4 тыс.Год назад
Wanamuziki nguli wanaounda kundi la Maquis Original wakitumbuiza katika onesho lao la Re-Union ukumbi wa Ngalawa katika hoteli ya Royal Village jijini Dodoma Ijumaa January 28, 2023
MTENDAJI WA KIJIJI AFUKUZWA KAZI KWA KUGEUZA OFISI YA SERIKALI NYUMBA YA KUFANYIA MAPENZI
Просмотров 1,2 тыс.Год назад
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro FATMA MWASA ameliagiza baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani humo kuondolewa kazini Afisa mtendaji wa Kijiji cha Mbigili kata ya Mbigili Wilayani humo kwa tuhuma za kugeza Ofisi ya serikali kama Nyuma ya kufanyia mapenzi, kuhamisha fedha kutoka akaunti ya serikali kwenda kwa mpenzi wake wanje ya ndoa huku akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria. Mku...
MHE RAIS DKT SAMIA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA VIONGOZI
Просмотров 189Год назад
MHE RAIS DKT SAMIA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA VIONGOZI
HOTUBA KAMILI YA MHE RAIS DKT. SAMIA AKIRUHUSU MIKUTANO YA HADHARA
Просмотров 171Год назад
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa vyama vyote 19 vya siasa vyenye usajili rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 3, 2023. Kubwa katika yote ni Rais kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara
YANGA YAAPA KUENDELEZA UBABE MBELE YA MTIBWA SUGAR LEO MANUNGU TURIANI
Просмотров 498Год назад
Timu ya YANGA SC imeapa kuendeleza ubabe wa kjuondoka na alama tatu muhimu mbele ya timu ya MTIBWA SUGAR katika mchezo wao unaotarajiwa kutimua vumbi desema 31 mwaka huu katika dimba la Manungu Turiani majira ya saa kumi za jioni. Wakizungumza na waandishi wa habari viongozi wa timu wamesema wanawaheshimu Mtibwa kwa kuwa ni timu kongwe, na kusisitiza iwe jua iwe mvua lazima alama tatu muhimu zi...
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA KWENYE MKUTANO WA AGRA JIJINI WASHINGTON DC NCHINI MAREKANI LEO
Просмотров 798Год назад
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI KWENYE MKUTANO WA MAPINDUZI YA KIJANI BARANI AFRIKA(ALLIANCE FOR A GREEN REVOLUTION IN AFRICA- AGRA) ULIOFANYIKA JIJINI WASHINGTON DC MAREKANI LEO
T-PESA WAZINDUA HUDUMA ZA BIMA, TIRA YAIPONGEZA KURAHISISHA HUDUMA
Просмотров 81Год назад
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima nchini Tanzania (TIRA), imeipongeza Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) T-Pesa kwa kuanzisha huduma za bima mbalimbali ijulikanayo kama Bima ya T-Pesa kupitia mtandao wa simu za mkononi. Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na Kamishna wa TIRA, Dk. Baghayo Saqware alipokuwa akizinduwa rasmi huduma ya Bima ya T-Pesa inayoto...
SERIKALI YAANZA ZOEZI LA UWEKAJI MPAKA WA KUDUMU KATIKA MSITU WA HIFADHI YA KUNI MOROGORO
Просмотров 134Год назад
SERIKALI YAANZA ZOEZI LA UWEKAJI MPAKA WA KUDUMU KATIKA MSITU WA HIFADHI YA KUNI MOROGORO
SHAMRASHAMRA ZA DURU YA TANO YA MAHAFALI YA 52 CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Просмотров 443Год назад
SHAMRASHAMRA ZA DURU YA TANO YA MAHAFALI YA 52 CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
SAKATA LA BOMOA BOMOA MOROGORO, ZOEZI LASITISHWA KUPISHA MAZUNGUMZO
Просмотров 1,1 тыс.Год назад
SAKATA LA BOMOA BOMOA MOROGORO, ZOEZI LASITISHWA KUPISHA MAZUNGUMZO
HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MKUTANO WA COP 27 MISRI
Просмотров 901Год назад
HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MKUTANO WA COP 27 MISRI
USUGU WA DAWA UNAVYOONGEZA TATIZO KWA WAGONJWA WA VVU
Просмотров 57Год назад
USUGU WA DAWA UNAVYOONGEZA TATIZO KWA WAGONJWA WA VVU
DC KINONDONI AHAMASISHA USAFI WA FUKWE, AWAASA KUFANYA USAFI KILA JUMAMOSI
Просмотров 39Год назад
DC KINONDONI AHAMASISHA USAFI WA FUKWE, AWAASA KUFANYA USAFI KILA JUMAMOSI
WANANCHI TEMEKE WAJITOKEZA KUPIMA AFYA, WADAU WAZUNGUMZA HAYA
Просмотров 49Год назад
WANANCHI TEMEKE WAJITOKEZA KUPIMA AFYA, WADAU WAZUNGUMZA HAYA
WANANCHI TEMEKE WAMIMINIKA KUPIMA AFYA, WADAU WANENA
Просмотров 145Год назад
WANANCHI TEMEKE WAMIMINIKA KUPIMA AFYA, WADAU WANENA
BARAZA LA NIMR WATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ASILI MABIBO WAIPONGEZA SERIKALI KWA UWEKEZAJI
Просмотров 638Год назад
BARAZA LA NIMR WATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ASILI MABIBO WAIPONGEZA SERIKALI KWA UWEKEZAJI
WIZARA YA ARDHI YABAINI VYANZO VIKUU NANE VYA MIGOGORO YA ARDHI, YAJIPANGA KUITATUA
Просмотров 338Год назад
WIZARA YA ARDHI YABAINI VYANZO VIKUU NANE VYA MIGOGORO YA ARDHI, YAJIPANGA KUITATUA
KITWANGA ATOA YA MOYONI, CHUNGU TAMU ZA TOZO, AISHAURI SERIKALI KUANGALIA VYANZO VIPYA VYA MAPATO
Просмотров 66 тыс.Год назад
KITWANGA ATOA YA MOYONI, CHUNGU TAMU ZA TOZO, AISHAURI SERIKALI KUANGALIA VYANZO VIPYA VYA MAPATO
HOSPITALI YA TEMEKE KUTOA HUDUMA ZA AFYA ZA KIBINGWA BILA MALIPO SEPTEMBA 9-11,2022
Просмотров 96Год назад
HOSPITALI YA TEMEKE KUTOA HUDUMA ZA AFYA ZA KIBINGWA BILA MALIPO SEPTEMBA 9-11,2022
Baraza la Mawaziri SADC waidhinisha Mtanzania, kuwa Mkurugenzi wa asasi ya siasa, ulinzi na usalama
Просмотров 76Год назад
Baraza la Mawaziri SADC waidhinisha Mtanzania, kuwa Mkurugenzi wa asasi ya siasa, ulinzi na usalama
IGP WAMBURA AWAONDOA WASIWASI WANANCHI KUWA KESI NYINGI UPELELEZI WAKE UMEKAMILIKA
Просмотров 166Год назад
IGP WAMBURA AWAONDOA WASIWASI WANANCHI KUWA KESI NYINGI UPELELEZI WAKE UMEKAMILIKA
SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AIPONGEZA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA (TADB)
Просмотров 45Год назад
SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AIPONGEZA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA (TADB)
What is the relationship between the Haya people and kiziba people someone to help me please am tracing my origin😢
Thia me watching my friend after 13 years 😅😅😅😅
Nzur
Smart English spoken by our retired president Jakaya kikwete
Ina uma sana
😢😢😢
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nzuri
Ila hii dunia hii
Kwa mara ya kwanza nausikia huu wimbo ni kutoka kwa mzee wangu Wazalendo haswa hawa
❤ love much my country Tanzania by peace and quiet Love
Es la leyenda del águila gigante??
Napenda Sana hii gwaride najikuta nafurahi Tu I love my country 🇹🇿🇹🇿
Kenya Hawa wanajifanya tu, one time twende on one to one combat ndo JW iwatie adabu hata vikundi vidogo vidogo wanashindwa hata kuwadhibiti et KDF they only know how to looting properties Kumbukeni west gate 😂😂😂
Hiii ndo pared bora kabisa la muda woteeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
2024
Hadi wanshindwa kunyosha miguru...😂
Hapa hakuna marching kelele tu😂
الاهم اغفر لها وارحمها وعافها واعفوعنها I really like his religious songs and also his unique voice, I hope he gets Allah's forgiveness🥺🥺🤲🤲🤲 greetings from Indonesia
033 seconds band song title please??
I am working
Ok
Wear suits
Wear very well i know you love the clothes it is like you are not wearing anything
I want to stay here
Kitambo sana❤
Obama worked for Israel, France and USA.
Obama will be arrested and judged in Black Africa. He killed too much Africans.
Naiangalia 3/2024
Atakama ulienda na respect you bro shine heaven we miss your move rest in peace from kenya
Mwamba STONE Allah akurehem
This dance is fascinating to watch. Love it!
Kazi kazi
Kwa mara ya kwanza nili usikia huu wimbo kwa mama yangu. kijana wa TANU wa zamani alie soma miaka ya sabini full uzalendo
Nice one Roy
Yaya nn😅
Wapi mwandishi Michuzi
2024
Bado naangalia 2024😢😢
❤❤❤
Mungu wetu ni mwaminifu
Hii parade JKT walitisha sana
Sana
ان لله وان اليه راجعون. يرحمها الله و يجعلها مع الصديقين. امين
Khadija mnoga kimobiteliiii
R I P. Banza stone The shoka
Hii no kitambo sana RIP
Lini tena barabara zidekiwe😂😂😂
Ila hii dunia hii
🙏🙏🙏🙏🙏😭😭